
Picha:
Mazishi ya Mashahidi 5 wa Mkoa wa Qom Waliouawa Kwenye Mashambulizi yaliyofanywa na Utawala wa Kizayuni, Katika Maandamano ya Ijumaa ya "Hasira na Ushindi"
Waumini wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Qom (IRAN), baada ya kuswali Swala ya Ijumaa wiki hii, waliisindikiza miili mitukufu wa mashahidi watano waliouawa kutokana na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni.
Maoni yako